Ayatu-Llahi Mhdi Hadawiy Tehraniy (Mungu Amhifadhi), amelijibu swali hili kwa kusema:
Bila shaka Maimamu (a.s) ni wenye mamlaka kamili ya kuitawala na kuzisarifu za waumini, lakini kufanya hivyo huwa kunahitajia idhini ya Mola Mtukufu, hivyo basi wao (a.s) huwa hawafanyi hivyo isipokuwa kuwe na maslahi maalumu juu ya kufanya hivyo.
Mwisho wa jawabu.
Kiungo na link ya kuelekea kwenye uwanja wa maswali na majibu ya kifiqhi ni kupitia kodi yenye namba (1000).