advanced Search

بلاگ

Kwa mara ya kwanza kabisa tovuti ya Islamquest ilianza kazi yake mnamo tarehe 2/4/2006, ambapo tovuti hii ilianza kutoa huduma zake kupitia lugha ya KIpashia, Kiarabu na Kiingereza.
   Lengo hasa la kuanzishwa kwa tovuti hii, ni kubeba jukumu la kujibu maswali mbali mbali yanayohusiana na dini ya Kiislamu kupitia njia ya mtandao wa internet.
Toleo la kwanza la tovuti hii liliweza kukamilika chini ya juhudi kubwa zilizofanywa na kikundi cha vijana mahodari wenye misingi madhubuti ya dini waliojitolea kuitekeleza kazi ya uundaji wa tovuti hii.
 

MASWALI KIHOLELA

YALIYOSOMWA ZAIDI